Sunday, November 18, 2012

SERENGETI BOYS WAENDDELEA KUFANYA VIZURI.

Timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17, Serengeti Boys wameibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Congo Brazzaville katika mchezo uliochezwa leo uwanja wa Taifa. Bao pekee la Serengeti Boys limetiwa wavuni na beki Mudathir Yahya Abbas katika dakika ya 15 kwa mpira wa adhabu. Matokeo haya yanaifanya Serengeti Boys ihitaji ushindi au sare ya aina yoyote katika mchezo wa marudiano ili ifuzu kwenda Morocco katika michuano ya Afrika Mwakani.

Picha kwa hisani ya: http://bongostaz.blogspot.com/Timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17, Serengeti Boys wameibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Congo Brazzaville katika mchezo uliochezwa leo uwanja wa Taifa.  
Bao pekee la Serengeti Boys limetiwa wavuni na beki Mudathir Yahya Abbas katika dakika ya 15 kwa mpira wa adhabu. Matokeo haya yanaifanya Serengeti Boys ihitaji ushindi au sare ya aina yoyote katika mchezo wa marudiano ili ifuzu kwenda Morocco katika michuano ya Afrika Mwakani.

No comments:

Zilizosomwa zaidi