Sunday, November 18, 2012

SAUT KUFANYA MAHAFARI JUMAMOSI HII

Jumamosi hii katika viwanja vya Raila Odinga katuka chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino, kutakuwa na shangwe nyingi kwa wahitimu wa chuo hicho kwa mwaka 2011/2012 kwani ndio watakapokuwa wanatunika vyeti vyao kwa ngazi ya Cheti na Shahada.

No comments:

Zilizosomwa zaidi