Thursday, November 1, 2012

KUZIMA SIMU BANDIA UGANDA HADI MWAKANI

.
Uganda imeamua kusitisha mipango yake ya kuzima simu bandia hadi tarehe moja mwezi Julai mwaka 2013.
Hatua ya serikali inayolenga kuzuia simu bandia kutumika katika mitandao ya simu nchini humo ilikuwa imepangiwa kuafikiwa mwishoni mwa mwezi huu.
Lakini Kenya iliweza kuchukua hatua sawia na hii mwezi Oktoba na kuzima simu za zaidi ya watu milioni moja.

No comments: