Monday, October 29, 2012

TRENI IMEANZA SAFARI NDANI YA DAR.

HATIMAYE usafiri wa treni ndani yaT Jiji la Dar es Salaam kuanza rasmi leo na kupokewa kwa furaha na wananchi waliojitokeza kuutumia. Waziri mwakyembe ameonekana ndani ya gogo akifurahia kuzinduliwa kwa usafiri huo

No comments: