Monday, October 8, 2012

MWANAFUNZI ALIYEJIFUNGULIA KWENYE MTIHANI ASEMA:

Ufukara umenisababishia mimba : “NILIAMUA kutumia kila mbinu kuficha mimba yangu ili isionekane, kwa sababu ningelifukuzwa shule wakati mimi nilitaka kuhakikisha nafanya mtihani wa darasa la saba ili nifaulu kwenda sekondari, lakini naona Mungu hakupennda. Kutoka Habari leo

No comments:

Zilizosomwa zaidi