Monday, October 8, 2012

Mkurugenzi mtendaji wa NBC arejeshwa kazini

 TUHUMA za uongozi mbaya, rushwa na wizi zilizotolewa dhidi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Lawrence Mafuru zimefutwa na kiongozi huyo amerejea kazini. 

No comments:

Zilizosomwa zaidi