Wakati idadi ya makanisa yaliyochomwa moto kutokana na vurugu zilizotokea juzi Mbagala Kizuiani jijini Dar es Salaam ikifikia saba, viongozi wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo wameonya kuwa, Serikali ikishindwa kudhibiti matukio ya vurugu za kidini, taifa linaweza kuingia katika umwagaji damu.Vurugu hizo zilitokea juzi baada ya watu wanaodaiwa kuwa waumini wa dini ya Kiislamu kuvamia Kituo cha Polisi, wakitaka wapewe mtoto aliyedaiwa kudhalilisha kitabu kitakatifu cha Quran kwa kukikojolea.
Saturday, October 13, 2012
MAKANISA YALIYOCHOMWA DAR YAFIKA SABA.
Wakati idadi ya makanisa yaliyochomwa moto kutokana na vurugu zilizotokea juzi Mbagala Kizuiani jijini Dar es Salaam ikifikia saba, viongozi wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo wameonya kuwa, Serikali ikishindwa kudhibiti matukio ya vurugu za kidini, taifa linaweza kuingia katika umwagaji damu.Vurugu hizo zilitokea juzi baada ya watu wanaodaiwa kuwa waumini wa dini ya Kiislamu kuvamia Kituo cha Polisi, wakitaka wapewe mtoto aliyedaiwa kudhalilisha kitabu kitakatifu cha Quran kwa kukikojolea.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Kesi ya mauaji ya marehemu Steven Kanumba inayomkabili mwigizaji wa bongo movie, Elizabeth Michael (Lulu) imeendelea kutajwa...
-
Utangulizi Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inapenda kutoa taarifa kwa umma juu ya kuwepo kwa Ugonjwa wa Homa ya Uti wa...
-
-
Meneja wa wafanyakazi wa Ndani ya Ndege wa Kampuni ya ndege ya Fastjet Emma Donovan, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya ...
No comments:
Post a Comment