Bondia THOMAS MASHALI kushoto
akitunishiana misuri na MEDY SEBYALA wa UGANDA baada ya kupima uzito Dar
es salaam leo kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika siku ya
kumbukumbu ya baba wa Taifa katika pambano la Ubingwa wa Africa
mashariki litakalofanyi ukumbi wa Friends corner hotel siku ya jumapili
14/10/2012a katika anaeshudia katikati ni Rais wa TPBC Onesmo Ngowi
ambaye ndie msimamizi mkuu wa mpambano huo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Kesi iliyokuwa inamkabiri mwenyekiti wa zamani wa chama cha CUF Pro Ibrahim Lipumba na baadhi ya wafuasi wa CUF kwa kosa la kuandamana bila...
-
Zaidi ya watu 32 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali baada ya basi la abilia la kampuni nya TAQ BIR lililokuwa linaelekea Mwanza kutoke...
-
-
Ajabu na kweli, katika ajari hiyo hapana mtu aliyepoteza maisha
-
Dakika 90 za mchezo Simba Sc 0-0 Coastal Union
No comments:
Post a Comment