Bondia THOMAS MASHALI kushoto
akitunishiana misuri na MEDY SEBYALA wa UGANDA baada ya kupima uzito Dar
es salaam leo kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika siku ya
kumbukumbu ya baba wa Taifa katika pambano la Ubingwa wa Africa
mashariki litakalofanyi ukumbi wa Friends corner hotel siku ya jumapili
14/10/2012a katika anaeshudia katikati ni Rais wa TPBC Onesmo Ngowi
ambaye ndie msimamizi mkuu wa mpambano huo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Francis Mutungi Miaka 21 imepita tangu sheria ya vyama vingi vya siasa ianze kutumika katika nchi yet...
-
Wahamiaji haramu 194 waliorudishwa makwao wakati wa kutekeleza awamu ya kwanza ya ...
-
Jeraha katika mguu wa mwandishi wa habari Shomi Mtaki lililotokana na risasi baada ya kuvamiwa na majambazi Shomi Mtaki akione...
-
KATIBA YAMVURUGA RAIS KIKWETE....WAPINZANI WAMPA MASHARTI MAZITO KUKUTANA NAE KABLA YA TAREHE 10....Siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kuvisihi vyama vya CHADEMA, CUF na NCCR-Mageuzi kusitisha maandamano yao na kurejea meza ya m...
No comments:
Post a Comment