Bondia THOMAS MASHALI kushoto
akitunishiana misuri na MEDY SEBYALA wa UGANDA baada ya kupima uzito Dar
es salaam leo kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika siku ya
kumbukumbu ya baba wa Taifa katika pambano la Ubingwa wa Africa
mashariki litakalofanyi ukumbi wa Friends corner hotel siku ya jumapili
14/10/2012a katika anaeshudia katikati ni Rais wa TPBC Onesmo Ngowi
ambaye ndie msimamizi mkuu wa mpambano huo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Israel Magesa Wakili Magesa aliyeko (pichani) amefariki dunia ghafla leo asubuhi. Wakili Magesa, ambaye ni mmiliki wa kampuni y...
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...
-
-
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limemkamata mbunge wa Mtwara Mjini (CCM), Hasnain Murji likimtuhumu kuchochea vurugu za kupinga mradi wa bo...
-
Nimepokea mwaliko wa kikao maalumu cha kikao cha fedha na uongozi wa tarehe 3/01/2014 kikao kufanyika tarehe 06/01/2013 saa nane mchana ...
No comments:
Post a Comment