Saturday, September 8, 2012
Waziri wa michezo na utamaduni Bi Fenela Mkangara, amewataka watanzania kuanza kujiandaa mapema kabisa katika mashindano ya Olympik 2013. Amesema kuwa watanzania wengi hulalamika pale ambapo vijana wao wanafanya vibaya katika mashindano. Kama maandalizi yataanza mapema kuna uhakika wa kufanya vizuri katika mashindano hayo kwa mwaka 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Marekani imetoa ripoti inayozungumzia usafirishaji wa binadamu ya mwaka 2013, huku ikiitaja Tanzania kuwa kinara wa kunyanyasa wasichana...
-
MAN U 2-1 ARSENAL
-
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
No comments:
Post a Comment