Saturday, September 8, 2012
Waziri wa michezo na utamaduni Bi Fenela Mkangara, amewataka watanzania kuanza kujiandaa mapema kabisa katika mashindano ya Olympik 2013. Amesema kuwa watanzania wengi hulalamika pale ambapo vijana wao wanafanya vibaya katika mashindano. Kama maandalizi yataanza mapema kuna uhakika wa kufanya vizuri katika mashindano hayo kwa mwaka 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
-
Papa akituma ujumbe wake wa Twitter Papa Benedict wa 16 ametuma ujumbe wake wa kwanza kwenye akaunti yake yaTwitter. Ujumb...
-
-
Anthery Mushi (picha via IPP Media) FAMILIA ya aliyekuwa mzazi mwenzake, Mwandishi wa ITV na Radio One, Ufoo Saro, Anthe...
No comments:
Post a Comment