Saturday, September 8, 2012
Waziri wa michezo na utamaduni Bi Fenela Mkangara, amewataka watanzania kuanza kujiandaa mapema kabisa katika mashindano ya Olympik 2013. Amesema kuwa watanzania wengi hulalamika pale ambapo vijana wao wanafanya vibaya katika mashindano. Kama maandalizi yataanza mapema kuna uhakika wa kufanya vizuri katika mashindano hayo kwa mwaka 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Jeshi la Polisi la Uturuki limetoa ufadhili wa masomo kwa askari kumi na saba ( 17) wa Jeshi la Polisi Tanzania kupata mafunzo mbal...
-
Bibi Silvana Nhungwe akivuna zabibu katika shamba la Mheshimiwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda lililopo eneo la Zuzu mjini Dodoma Septemba 11...
-
Yanga imemponza mwamuzi, Martin Saanya wa Morogoro aliyechezesha mechi yao na Coastal Union ambaye amefungiwa mwaka mmoja kwa kuchezesha ...
-
No comments:
Post a Comment