Saturday, September 8, 2012
Vijana Acheni Ulevi Jijini Dar limezuka wimbi la matapeli ambao huwanywesha vijana pombe na baadae kuwaibia kila kitu walichokuwa nacho. Vijana wanapenda Pombe wakati hawana kipato cha kutosha na hatimae kutaka kunywa pombe za bure. Jihadharini sana vijana, chapeni kazi, hali ya maisha ni ngumu sana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Marekani imetoa ripoti inayozungumzia usafirishaji wa binadamu ya mwaka 2013, huku ikiitaja Tanzania kuwa kinara wa kunyanyasa wasichana...
-
MAN U 2-1 ARSENAL
-
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
No comments:
Post a Comment