Saturday, September 8, 2012
Vijana Acheni Ulevi Jijini Dar limezuka wimbi la matapeli ambao huwanywesha vijana pombe na baadae kuwaibia kila kitu walichokuwa nacho. Vijana wanapenda Pombe wakati hawana kipato cha kutosha na hatimae kutaka kunywa pombe za bure. Jihadharini sana vijana, chapeni kazi, hali ya maisha ni ngumu sana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
-
Papa akituma ujumbe wake wa Twitter Papa Benedict wa 16 ametuma ujumbe wake wa kwanza kwenye akaunti yake yaTwitter. Ujumb...
-
-
Anthery Mushi (picha via IPP Media) FAMILIA ya aliyekuwa mzazi mwenzake, Mwandishi wa ITV na Radio One, Ufoo Saro, Anthe...
No comments:
Post a Comment