Saturday, September 8, 2012
Vijana Acheni Ulevi Jijini Dar limezuka wimbi la matapeli ambao huwanywesha vijana pombe na baadae kuwaibia kila kitu walichokuwa nacho. Vijana wanapenda Pombe wakati hawana kipato cha kutosha na hatimae kutaka kunywa pombe za bure. Jihadharini sana vijana, chapeni kazi, hali ya maisha ni ngumu sana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Jeshi la Polisi la Uturuki limetoa ufadhili wa masomo kwa askari kumi na saba ( 17) wa Jeshi la Polisi Tanzania kupata mafunzo mbal...
-
Bibi Silvana Nhungwe akivuna zabibu katika shamba la Mheshimiwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda lililopo eneo la Zuzu mjini Dodoma Septemba 11...
-
Yanga imemponza mwamuzi, Martin Saanya wa Morogoro aliyechezesha mechi yao na Coastal Union ambaye amefungiwa mwaka mmoja kwa kuchezesha ...
-
No comments:
Post a Comment