Saturday, September 8, 2012
Wakazi wa eneo la Mlimani mkoani Morogoro wamelalamika kwa kukosa umeme kwa muda mrefu sasa japo nguzo za umeme zimepita katika eneo lao. Mpaka sasa wakazi hao wanalalamika kwa Zahanati yao kukosa Umeme hali ambayo inasababisha wazazi kujifungua watoto gizani hali ambayo ni hatari sana. Serikali inaombwa kulitatua tatizo hilo mapema iwezekanavyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Jeshi la Polisi la Uturuki limetoa ufadhili wa masomo kwa askari kumi na saba ( 17) wa Jeshi la Polisi Tanzania kupata mafunzo mbal...
-
Bibi Silvana Nhungwe akivuna zabibu katika shamba la Mheshimiwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda lililopo eneo la Zuzu mjini Dodoma Septemba 11...
-
Yanga imemponza mwamuzi, Martin Saanya wa Morogoro aliyechezesha mechi yao na Coastal Union ambaye amefungiwa mwaka mmoja kwa kuchezesha ...
-
No comments:
Post a Comment