Saturday, September 8, 2012
Wakazi wa eneo la Mlimani mkoani Morogoro wamelalamika kwa kukosa umeme kwa muda mrefu sasa japo nguzo za umeme zimepita katika eneo lao. Mpaka sasa wakazi hao wanalalamika kwa Zahanati yao kukosa Umeme hali ambayo inasababisha wazazi kujifungua watoto gizani hali ambayo ni hatari sana. Serikali inaombwa kulitatua tatizo hilo mapema iwezekanavyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
-
Papa akituma ujumbe wake wa Twitter Papa Benedict wa 16 ametuma ujumbe wake wa kwanza kwenye akaunti yake yaTwitter. Ujumb...
-
-
Anthery Mushi (picha via IPP Media) FAMILIA ya aliyekuwa mzazi mwenzake, Mwandishi wa ITV na Radio One, Ufoo Saro, Anthe...
No comments:
Post a Comment