Saturday, September 8, 2012
Wakazi wa eneo la Mlimani mkoani Morogoro wamelalamika kwa kukosa umeme kwa muda mrefu sasa japo nguzo za umeme zimepita katika eneo lao. Mpaka sasa wakazi hao wanalalamika kwa Zahanati yao kukosa Umeme hali ambayo inasababisha wazazi kujifungua watoto gizani hali ambayo ni hatari sana. Serikali inaombwa kulitatua tatizo hilo mapema iwezekanavyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Marekani imetoa ripoti inayozungumzia usafirishaji wa binadamu ya mwaka 2013, huku ikiitaja Tanzania kuwa kinara wa kunyanyasa wasichana...
-
MAN U 2-1 ARSENAL
-
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
No comments:
Post a Comment