Monday, September 17, 2012
Wakazi wa kijiji cha Kwadelo kilichopo wilayani Kondoa mkoani Dodomg walalamika kwa kukosa huduma ya maji. Richa ya kuwa Mkoa huo una asili ya ukame, serikali imewaacha solemba wakazi wa kijiji hicho kwani hata visima havijachimbwa kijijini hapo. Akiongea mkazi wa kijiji hicho ambaye jina lake halikutajwa amesema, inawalazimu wanawake kutembea umbali mrefu usikt wa manane kutafuta maji jambo ambalo ni hatari kwa maisha yao. Serikali ikishirikiana na wakazi wa Kwadelo imeombwa kulishughulikia tatizo hili mapema kwani wamekuwa wakipata shida hiyo kwa mda mrefu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Bas la kampuni ya Nganga Express linalofanya safari zake za Iringa-Kilombero limegongana uso kwa uso na fuso kisha magari hayo kuteketea ...
-
Kajala Masanja. Pamoja na kutoa faini ya Sh. milioni 13 alizolipiwa na staa mwenzake wa filamu, Wema Isaac Sepetu, Kajala anat...
-
Jeshi la polisi linawasaka Mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni Freeman Mbowe pamoja na Mbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless...
-
No comments:
Post a Comment