Sunday, September 16, 2012

Wakati wanafunzi wa shule za msingi wanajiandaa kwa mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi wiki hii, walimu na wasimamizi watakiwa kuepukana na vitendo vya udanganyifu ambavyo husababisha kuwepo kwa wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika.

No comments: