Monday, September 17, 2012
Wakati tukiendelea na wiki ya nenda kwa usalama barabarani, wananchi watakiwa kuwa makini pindi watumiapo barabara ili kupunguza ajari na vifo vitokanavyo na ajari za barabarani. Kwa mkoa wa Dar es salaam ajari za pikipiki zimeripotiwa kuwa nyingi katika kipindi cha August. Wakati huohuo waendesha pikipiki wilayani kasulu mkoani Kigoma wanaendelea kunufaika na wiki hii ya nenda kwa usalama kwani chuo cha mafunzo ya ufundi FDC wilayani humo, kimeanda kozi fupi ya wiki moja ya kujifunza namna kuendesha pikipiki na kupewa cheti maalum kitakachowasaidia wahitimu hao kupata Leseni ya udereva kwa urahisi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Jeshi la polisi linawasaka Mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni Freeman Mbowe pamoja na Mbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless...
-
Bas la kampuni ya Nganga Express linalofanya safari zake za Iringa-Kilombero limegongana uso kwa uso na fuso kisha magari hayo kuteketea ...
-
Kajala Masanja. Pamoja na kutoa faini ya Sh. milioni 13 alizolipiwa na staa mwenzake wa filamu, Wema Isaac Sepetu, Kajala anat...
-
No comments:
Post a Comment