Wednesday, September 26, 2012
Vijana wajitokeza uchaguzi CCM. Wakati chama cha mapinduzi kikiendelea na uchaguzi wa chama, vijana wenye umri wa miaka arobaini (40) na wasomi wa elimu ya juu ndio waliojitokeza kuchukua fomu. Akiongea katibu mwenezi wa chama hicho Nape Nnauye, amesema kuwa chama hicho kimepanga kuleta mabadiliko katika utendaji, "Nimeshuhudia kuona asilimia 50 ya waliochukua fomu ni vijana" .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Kajala Masanja. Pamoja na kutoa faini ya Sh. milioni 13 alizolipiwa na staa mwenzake wa filamu, Wema Isaac Sepetu, Kajala anat...
-
Matokeo karibu yote yamekwisha kamilika nasi tunamsubiri msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Kalenga Bi Pudensiana Kisaka kumtangaza mshindi a...
-
-
-
No comments:
Post a Comment