Wednesday, September 26, 2012
Vijana wajitokeza uchaguzi CCM. Wakati chama cha mapinduzi kikiendelea na uchaguzi wa chama, vijana wenye umri wa miaka arobaini (40) na wasomi wa elimu ya juu ndio waliojitokeza kuchukua fomu. Akiongea katibu mwenezi wa chama hicho Nape Nnauye, amesema kuwa chama hicho kimepanga kuleta mabadiliko katika utendaji, "Nimeshuhudia kuona asilimia 50 ya waliochukua fomu ni vijana" .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Karibuni tena Dodoma Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge Maalum la kutunga Katiba ya nchi yetu. Sote tuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyez...
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Utangulizi Ndugu wananchi; Naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema, kwa kutujalia uzima na kutuwezesha ...
-
1 Tukio la tetemeko: Tarehe 10/09/2016 saa 9 na dakika 27 mchana kumetokea tetemeko la ardhi mkoani Kagera. Kitovu cha teteme...
-
Tume ya Mabadiliko ya Katiba imeongeza siku mbili za kupiga kura ya kuchagua wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya, zoezi ambalo awali ...
No comments:
Post a Comment