Wednesday, September 26, 2012

Tume ya kukusanya maoni inapoendelea na mchakato wa kukusanya maoni katika maeneo mbalimbali, tume hiyo imebaini kuwa wanafunzi kuanzia shule za msingi, sekondari na vyuo nchini wamejitokeza na kushiriki kikamilifu katika kutoa maoni ya uundaji wa katiba mpya.

No comments:

Zilizosomwa zaidi