Tuesday, September 11, 2012
Simba sports club kuitwaa Ngao ya jamii katika uwanja wa taifa jijini Dar baada ya kuichala Azam FC ya Dar magoli 3-2. Azam ilifanikiwa kupata magoli yote mawili katika kipindi cha kwanza wakati simba walikuwa nyuma kwa goli moja hadi kipindi cha mapumziko. Lakini katika kipindi cha club ya Simba ilijihakishia ushindi baada ya kuongeza magoli mawili na kuyafanya matokeo kuwa Simba 3-2 Azam
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
KAMBI zinazosigana ndani ya CCM zinaonekana kuchuana vikali katika uchaguzi wa ngazi ya wil...
-
Hapa ni mdahalo uliofanyika jana nchini mMarekani kati ya Barack Obama na mshindani wake Mitt Romney wa Republican
-
Zambia 1 - 1 Ethiopia Nigeria 1 - 1 Burkina Faso
-
No comments:
Post a Comment