Tuesday, September 11, 2012
Simba sports club kuitwaa Ngao ya jamii katika uwanja wa taifa jijini Dar baada ya kuichala Azam FC ya Dar magoli 3-2. Azam ilifanikiwa kupata magoli yote mawili katika kipindi cha kwanza wakati simba walikuwa nyuma kwa goli moja hadi kipindi cha mapumziko. Lakini katika kipindi cha club ya Simba ilijihakishia ushindi baada ya kuongeza magoli mawili na kuyafanya matokeo kuwa Simba 3-2 Azam
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Marekani imetoa ripoti inayozungumzia usafirishaji wa binadamu ya mwaka 2013, huku ikiitaja Tanzania kuwa kinara wa kunyanyasa wasichana...
-
MAN U 2-1 ARSENAL
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
(Kutoka kwa Nathani)
No comments:
Post a Comment