Thursday, September 20, 2012
Shule ya sekondari Maranda iliyopo nchini Kenya imefungwa Kwa mda baada ya mabweni mawili kuungua. Tatizo lilosababisha kuungua kwa mabweni hayo bado halijafahamika, wakati huohuo shule ya sekondari ya wasichana iliyopo jirani na Maranda sec. imefungwa kwa tahadhari ya kutokea kwa ajari nyingine kama hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
KAMBI zinazosigana ndani ya CCM zinaonekana kuchuana vikali katika uchaguzi wa ngazi ya wil...
-
Wahamiaji haramu waliokuwa wakiishi Dar es Salaam, wameendelea kukamatwa na kurejeshwa kwao, ambapo pia imebainika wengi walikuwa wauza k...
-
I. UTANGULIZI: a) Maswali Mhe...
No comments:
Post a Comment