Saturday, September 15, 2012

Serikali ya Uingereza imeipongeza Serikari ya Tanzania kwa kuacha demokrasia kukua zaidi nchini, hii ni kutokana na uhuru waliopewa waandishi wa habari kwa kuweza kuripoti mambo mbalimbali yakiwemo matumizi ya pesa za Umma kutoka serikalini.

No comments:

Zilizosomwa zaidi