Tuesday, September 4, 2012
Hili ndilo tamko la Chadema kuhusu kifo cha mwandishi wa habari David Mwangosi huko iringa. John Mnyika ameitaka serikali kuwasimamisha kazi Askari wote waliohusika kurusha bomu lililosababisha kifo cha mwandishi huyo pindi uchunguzi unapoendelea. Waandishi wa habari nao mkoani Mbeya wameahidi kutoandika taarifa yoyo inayoihusu jeshi la Polisi hadi hapo uchunguzi utakapokamilika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Israel Magesa Wakili Magesa aliyeko (pichani) amefariki dunia ghafla leo asubuhi. Wakili Magesa, ambaye ni mmiliki wa kampuni y...
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...
-
-
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limemkamata mbunge wa Mtwara Mjini (CCM), Hasnain Murji likimtuhumu kuchochea vurugu za kupinga mradi wa bo...
-
Nimepokea mwaliko wa kikao maalumu cha kikao cha fedha na uongozi wa tarehe 3/01/2014 kikao kufanyika tarehe 06/01/2013 saa nane mchana ...
No comments:
Post a Comment