Tuesday, September 4, 2012
Hili ndilo tamko la Chadema kuhusu kifo cha mwandishi wa habari David Mwangosi huko iringa. John Mnyika ameitaka serikali kuwasimamisha kazi Askari wote waliohusika kurusha bomu lililosababisha kifo cha mwandishi huyo pindi uchunguzi unapoendelea. Waandishi wa habari nao mkoani Mbeya wameahidi kutoandika taarifa yoyo inayoihusu jeshi la Polisi hadi hapo uchunguzi utakapokamilika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
VIBANDA VILIVYOJENGWA BILA KUFUATA UTARATIBU KWENYE STENDI MPYA YA DALADALA MKOANI DODOMA KUBOMOLEWAMmoja wa wafanyakazi katika ofisi ya Mhandisi wa manispaa ya Dodoma akitoa amri ya kuondoa moja ya vibanda vilivyojengwa kiholela kat...
-
-
-
-
Mkufunzi mkuu na meneja wa klabu ya Manchester United David Moyes a...
No comments:
Post a Comment