Wednesday, September 12, 2012
Hatimae chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA chakili kufadhiliwa kutoka nje ili kujijenga kiuwezo. Haya yamethibitishwa na katibu wa cha hicho dk Willbrod Slaa alipokuwa kwenye simina hapo jana iliyohusisha viongozi mbalimbali wa chama hicho na wengine kutoka katika chama cha kikiristu CDU cha nchini Ujerumani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
KAMBI zinazosigana ndani ya CCM zinaonekana kuchuana vikali katika uchaguzi wa ngazi ya wil...
-
Hapa ni mdahalo uliofanyika jana nchini mMarekani kati ya Barack Obama na mshindani wake Mitt Romney wa Republican
-
Zambia 1 - 1 Ethiopia Nigeria 1 - 1 Burkina Faso
-
No comments:
Post a Comment