Wednesday, September 12, 2012
Aliyoyaandika mchungaji Munishi katika facebook kuhusiana na mauaji ya mwandishi wa habari. SERIKALI YA TANZANIA NDIYO INAYOWAPA KIBURI ASKARI, WANANCHI WASIYALAUMU MATAWI BADALA YAKE WAULAMU MTI WENYE MATAWI. Tangu enzi za Nyerere, waandishi walitumiwa na serikali kuwanyanya wananchi wasiokuwa na hatia. Sasa joka limewageukia na kuanza kuyakata matawi, waandishi hawana budi kuukata mti wenye matawi hayo uliopo Tanzania.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Marekani imetoa ripoti inayozungumzia usafirishaji wa binadamu ya mwaka 2013, huku ikiitaja Tanzania kuwa kinara wa kunyanyasa wasichana...
-
-
MAN U 2-1 ARSENAL
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
African Nations Cup 15:00 Ivory Coast v Nigeria 18:30 Burkina Faso v Togo Barclays Premier League 13:30 West Bromwich Albion ...
No comments:
Post a Comment