Saturday, August 25, 2012
Wakazi wa wilaya mpya ya Gairo mkoani Morogoro wakumbwa na tatizo la maji. Kutokana mabadiliko ya hali ya hewa pamoja na miundombinu mibovu, wilaya hiyo imekumbwa na tatizo hilo la maji tangu mwezi wa saba. Mpaka sasa wamejikuta kila familia inagawiwa ndoo kumi tu za maji ambazo familia husika itazitumia kwa kipindi cha mwezi mmoja.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imetoa tamko kuwa ugonjwa wa homa ya dengue umefikia hatua mbaya. ...
-
FT Real Zaragoza 0 - 1 Deportivo La Coruña FT Hercules 0 - 0 Numancia FT Sporting Gijon 3 - 1 Girona FT Tenerife 5 - 0 Ponferradina ...
-
Balozi Ombeni Sefue Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue , akizungumza na waandishi wa habari Ikulu jijini Dar es salaam leo Desem...
-
Mwanamke kutoshika mimba kumegawanyika katika makundi makubwa mawili. Kwanza ni hali iitwayo ‘primary Infertility’ ambapo ...
No comments:
Post a Comment