Saturday, August 25, 2012
Ile tabia ya abiria kujisaidi wakati wa safari maarufu kama kuchimba dawa, imekuwa ikisababisha uchafuzi wa mazingira hali ambayo sasa inapigwa vita na Serikali. Kufikia octoba mwaka huu hakuna gari litakalokuwa linasimama porini ili abiria wake wachimbe dawa. Hivyo abilia katika barabara ya Dar, Morogoro, Dodoma, Singida hadi Mwanza, wameiomba serikali kuchukua jukumu la kujenga vyoo barabarani. Wameshauri ni bora vyoo hivyo vikajengwa kila baada ya kilometa 150.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mheshimiwa Wilbroad Slaa, leo, Jumatatu, Mei 13, 2013, amekaririwa ...
-
-
Wakati Serikali ikiahidi kuboresha elimu nchini kwa kuhakikisha inaajiri walim...
-
Watu wawili wamekutwa wameuawa kikatili mchana wa leo katika matukio mawili tofauti Mkoani Shinyanga Tukio la kwanza linamhusisha k...
-
No comments:
Post a Comment