Monday, August 27, 2012

Waislam mkoani Kigoma katika maeneo ya Mwandiga nje Kidogo ya mji wa Kigoma, wameisusia shughuli ya sensa na kugoma kuhesabiwa kwa kuamua kukaa msikini. Kitendo hiki kimefanywa na baadhi ya Masheh katika msikiti wa Mwandiga kuwahamasisha waislam kwenda kukaa msikitini. Walipotaka kuhojiwa, walikataa, na hawakuongea lolote.

No comments:

Zilizosomwa zaidi