Monday, August 27, 2012
Waislam mkoani Kigoma katika maeneo ya Mwandiga nje Kidogo ya mji wa Kigoma, wameisusia shughuli ya sensa na kugoma kuhesabiwa kwa kuamua kukaa msikini. Kitendo hiki kimefanywa na baadhi ya Masheh katika msikiti wa Mwandiga kuwahamasisha waislam kwenda kukaa msikitini. Walipotaka kuhojiwa, walikataa, na hawakuongea lolote.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Marekani imetoa ripoti inayozungumzia usafirishaji wa binadamu ya mwaka 2013, huku ikiitaja Tanzania kuwa kinara wa kunyanyasa wasichana...
-
MAN U 2-1 ARSENAL
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
No comments:
Post a Comment