Monday, August 27, 2012
Waislam mkoani Kigoma katika maeneo ya Mwandiga nje Kidogo ya mji wa Kigoma, wameisusia shughuli ya sensa na kugoma kuhesabiwa kwa kuamua kukaa msikini. Kitendo hiki kimefanywa na baadhi ya Masheh katika msikiti wa Mwandiga kuwahamasisha waislam kwenda kukaa msikitini. Walipotaka kuhojiwa, walikataa, na hawakuongea lolote.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Bwana Harusi Fadhili Mahenge akiwa ndani ya Suti akisubiri kufungishwa ndoa Bi Harusi Naomi Ngoje akiwa amejilalia chumbani akis...
-
Kundi la kigaidi la Al-Shabaab limetibitisha kuwa kiongozi wao Ahmed Abdi Godane aliuawa siku ya Jumatatu katika shambu...
-
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha waombolezaji wakati wa mazishi ya Askofu Moses Kulola leo. Mtoto wa Marehemu Asko...
-
MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imesema mvua kubwa zilizotangazwa awali zinatarajiwa kuanza leo katika mikoa ya ukanda wa pwani. Ma...
-
No comments:
Post a Comment