Monday, August 27, 2012
Timu ya mpira wa miguu Azam, imemtimua rarmi kiungo kutoka Kenya George Odhiambo 'BLACKBERY' kutokana na utovu wa nidhamu katika timu hiyo. Msemaji wa timu hiyo amesema Odhiambo hakufika mazoezini takribani siku nne bila kutoa taarifa. Aliongeza kuwa nafasi yake itachukuliwa na mchezaji mwingine mapema iwezekanavyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Israel Magesa Wakili Magesa aliyeko (pichani) amefariki dunia ghafla leo asubuhi. Wakili Magesa, ambaye ni mmiliki wa kampuni y...
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...
-
-
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limemkamata mbunge wa Mtwara Mjini (CCM), Hasnain Murji likimtuhumu kuchochea vurugu za kupinga mradi wa bo...
-
Nimepokea mwaliko wa kikao maalumu cha kikao cha fedha na uongozi wa tarehe 3/01/2014 kikao kufanyika tarehe 06/01/2013 saa nane mchana ...
No comments:
Post a Comment