Thursday, August 16, 2012

Slaa, Nape uso kwa uso. Dk Slaa (chadema) aamua kumfungukia Nape (Ccm) baada ya Nape kuwatuhumu chadema kwa kutumia pesa za harambee badala yake Slaa amemtaka Nape kuwaeleza wanachama wake jinsi gani CCM ilivyotumia pesa chafu katika uchaguzi wa mwaka 2005 na kuingia madarakani.

No comments:

Zilizosomwa zaidi