Thursday, August 16, 2012

Dk Ulimboka awaambia Watanzania wasiwe na wasiwasi juu yake, "siku inakuja ambapo nitaweka mambo yote hadharani" Kauli hii ameitoa hapo jana alipokuwa akiongea na wandishi wa habari jijini Dar kwani maswali mengi yalihusu lini atawaweka bayana Watanzania.

No comments:

Zilizosomwa zaidi