Thursday, August 16, 2012

Kwa mashabiki wa Koffi Olomide hii inawahusu. Baada ya kutumia nguvu na kumrushia ngumi meneja wake Diego Lubasu akidai pesa, sasa afungwa jela miezi mitatu. Koffi alikamatwa na polisi hapo jana ambapo alifikishwa mahakani na kuhukumiwa adhabu hiyo.

No comments:

Zilizosomwa zaidi