Monday, August 27, 2012
Nape aigomea Chadema. Baada ya mbunge wa Ubungo, John Mnyika kutoa siku saba kabla ya kwenda mahakamani,kuitaka CCM kuilipa Chadema fidia ya Sh. Bilion 3 kutokana na tuhuma zilizotolewa kuwa Chadema hicho kinapokea mabilioni kutoka nje, Katibu mwenezi wa CCM, Nape Nnauye amewaeleza waandishi wa habari kuwa chama hakotayari kulipa fidia yoyote, "kama ni kwenda mahakamani waende hata kesho wasisubiri siku saba kwani watapoteza mda" pia amemtaka katibu wa Chadema, Wilbrod Slaa kutoa uthibitisho kwa madai aliyoyatoa kuwa CCM inaingiza siraha nchini. Kwa upande wa kulipwa fidia, Nape ameitaka Chadema kuilipa CCM Sh. Bilion 3.1
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Marekani imetoa ripoti inayozungumzia usafirishaji wa binadamu ya mwaka 2013, huku ikiitaja Tanzania kuwa kinara wa kunyanyasa wasichana...
-
MAN U 2-1 ARSENAL
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
No comments:
Post a Comment