Monday, August 27, 2012
Diamond Plutnum kufanya kolabo na J Martin. Hii ni baada ya kufanya shoo kali katika mashindano ya Big Brother Africa na hivyo kuanza kualikwa sehemu mbalimbali kutoa burudani. Hivi sasa Diamond amesema tayari ameshaingiza voko za wimbo huo kwa producer Marco Chali na sasa amesubiri kuingiza voko za J Martin ambaye hivi sasa yupo nchini Marekani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Marekani imetoa ripoti inayozungumzia usafirishaji wa binadamu ya mwaka 2013, huku ikiitaja Tanzania kuwa kinara wa kunyanyasa wasichana...
-
MAN U 2-1 ARSENAL
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
No comments:
Post a Comment