Monday, August 27, 2012
Kituko kimetokea mkoani Tabora baada ya ziara ya kushtukiza iliyofanywa na mkuu wa mkoa katika stendi ya mabasi ya mkoa huo. Katika usiku wa kuamkia siku ya Sensa mkuu wa mkoa huo Bi Fatuma Mwasa aliitembelea stendi hiyo na kuikuta ina uchafu usioelezeka jambo lililomfanya bi Fatuma kuwakurupusha Watendaji wa wilaya ya Tabora mjini usiku huo kufika na kuanza kufanya usafi mara moja, muda huohuo. Kwa aibu waliyoipata watendaji hao, waliamua kuwapa tenda vijana wakafanya usafi ndani ya stendi usiku huo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Israel Magesa Wakili Magesa aliyeko (pichani) amefariki dunia ghafla leo asubuhi. Wakili Magesa, ambaye ni mmiliki wa kampuni y...
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...
-
-
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limemkamata mbunge wa Mtwara Mjini (CCM), Hasnain Murji likimtuhumu kuchochea vurugu za kupinga mradi wa bo...
-
Nimepokea mwaliko wa kikao maalumu cha kikao cha fedha na uongozi wa tarehe 3/01/2014 kikao kufanyika tarehe 06/01/2013 saa nane mchana ...
No comments:
Post a Comment