Wednesday, August 15, 2012
Mbunge wa Mwanza Bw Andrew Chenge amewaomba wabunge wote kujadili na kuweka wazi ni lugha ipi itumike katika kufundishia shule za msingi. Amesema kuwa lugha ya kiswahili ndio inayotumika kwa sasa lakini viongozi na wabunge wanaoipa lugha hiyo kipaumbele bado wanawapeleka watoto wao katika shule zinazofundisha kiingereza tu. Chenge ameongeza kuwa hali kama hii inasababisha matabaka ya kielimu katika jamii.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Papa akituma ujumbe wake wa Twitter Papa Benedict wa 16 ametuma ujumbe wake wa kwanza kwenye akaunti yake yaTwitter. Ujumb...
-
FT Birmingham City 3 - 1 Swansea City FT Manchester United 1 - 0 Liverpool FT Newcastle United 2 - 0 Leeds United FT Tranmere Rovers 0...
-
Viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendelo (CHADEMA), MH MBOWE NA TUNDU LISSU wanashikiliwa na polisi mkoani Iringa kwa tuhuma za ...
-
Kajala Masanja. Pamoja na kutoa faini ya Sh. milioni 13 alizolipiwa na staa mwenzake wa filamu, Wema Isaac Sepetu, Kajala anat...
No comments:
Post a Comment