Wednesday, August 15, 2012
Kambi ya upinzani Bungeni imeiomba serikali kuwaanika mawaziri ambao wamefisha mabilioni ya pesa nchini Uswis. Waziri kivuli wa fedha kutoka chama cha maendeleo na demokrasia (chadema) bw Zitto Kabwe amesema jana bungeni kuwa sh 315.5 bilion imewekwa katika benki nchini Uswis. Aliongeza kuwa Benk ya Uswis ilipotoa repoti Juni mwaka huu, ilionesha kuwa bil315.5 kufichwa nje na mawaziri na akiwemo kiongo wa ngazi ya juu serikalini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendelo (CHADEMA), MH MBOWE NA TUNDU LISSU wanashikiliwa na polisi mkoani Iringa kwa tuhuma za ...
-
Papa akituma ujumbe wake wa Twitter Papa Benedict wa 16 ametuma ujumbe wake wa kwanza kwenye akaunti yake yaTwitter. Ujumb...
-
Kajala Masanja. Pamoja na kutoa faini ya Sh. milioni 13 alizolipiwa na staa mwenzake wa filamu, Wema Isaac Sepetu, Kajala anat...
-
No comments:
Post a Comment