Baada ya tukio lililotokea juzi la majambazi
kuvamia kituo cha polisi wilayani Bukombe na kuua askari wawili, tayari
jeshi la polisi limeanza msako na kufanikiwa kukamata bunduki aina ya
SMG 8, Pump action 1 na mtuhumiwa mmoja mwenyeji wa Tanga.
Bado polisi wanaendelea na upelelezi na kuahidi kuwa Wote waliohusika
katika tukio hilo Watapatikana muda si mrefu kuanzia sasa. Toeni taarifa
kituo cha polisi kilicho karibu mara tu mnapomtilia mashaka mtu yeyote
unayemhisi au kuwa na wasiwasi naye.Sunday, September 7, 2014
POLISI WAKAMATA BUNDUKI 8 BAADA YA MAJAMBAZI KUTEKA KITUO CHA POLISI
Baada ya tukio lililotokea juzi la majambazi
kuvamia kituo cha polisi wilayani Bukombe na kuua askari wawili, tayari
jeshi la polisi limeanza msako na kufanikiwa kukamata bunduki aina ya
SMG 8, Pump action 1 na mtuhumiwa mmoja mwenyeji wa Tanga.
Bado polisi wanaendelea na upelelezi na kuahidi kuwa Wote waliohusika
katika tukio hilo Watapatikana muda si mrefu kuanzia sasa. Toeni taarifa
kituo cha polisi kilicho karibu mara tu mnapomtilia mashaka mtu yeyote
unayemhisi au kuwa na wasiwasi naye.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Abiria wapatao 60 waliokuwa wanasafiri siku ya jana na basi la Turu linalofanya safari zake kati ya mkoa wa Singida na Haidom mkoani Man...
-
Mario Balotelli alizuia na wachezaji wenzake asimfuate mwamuzi mara baada ya kutolewa kwa kadi nyekundu katika mchezo wa...
-
W akati Jeshi la Polisi la Tanzania likisema linafuatilia taarifa za vitisho za kundi la Al-Shabaab la Somalia za kushambulia, Mtanz...
-
Wanawake ni miongoni mwa wanajamii wengi wanaopenda kutumia marashi na vitu vingine kama sabuni zenye kemi...
No comments:
Post a Comment