Wafanyabiashara wa mjini Iringa wamegoma asubuhi hii wakishinikiza Mamlaka ya Mapato Tanzania
(TRA) iondoe mashine za EFD kwa madai kwamba wananyonywa na ni wizi
mtupu.Maduka karibu yote ya Miyomboni yamefungwa na wafabishara hao
wameandamana kuangalia yale ambayo hayajafungwa ili washinikize wenzao
wayafunge kwa nguvu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
-
Mauaji ya kikatili yametokea usiku wa kuamkia leo wilayani Bunda, mkoani Mara baada ya wa...
-
-
No comments:
Post a Comment