Wafanyabiashara wa mjini Iringa wamegoma asubuhi hii wakishinikiza Mamlaka ya Mapato Tanzania
(TRA) iondoe mashine za EFD kwa madai kwamba wananyonywa na ni wizi
mtupu.Maduka karibu yote ya Miyomboni yamefungwa na wafabishara hao
wameandamana kuangalia yale ambayo hayajafungwa ili washinikize wenzao
wayafunge kwa nguvu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
1.AUSTIN MORRIS A-40 AUSTIN MORRIS A-40 Gari aina ya Austin Morris A-40 lilitengenezwa nchini Uingereza kati ya mwaka 1940 ...
-
-
YANGA 1-1 Prisons SIMBA 6-0 Mgambo Kagera 2-1 JKT Oljoro Azam 1- 1 Ashanti Coastal 1-1 Rhino Mtibwa 0-0 MBEYA City ...
No comments:
Post a Comment