Wafanyabiashara wa mjini Iringa wamegoma asubuhi hii wakishinikiza Mamlaka ya Mapato Tanzania
(TRA) iondoe mashine za EFD kwa madai kwamba wananyonywa na ni wizi
mtupu.Maduka karibu yote ya Miyomboni yamefungwa na wafabishara hao
wameandamana kuangalia yale ambayo hayajafungwa ili washinikize wenzao
wayafunge kwa nguvu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
-
VIBANDA VILIVYOJENGWA BILA KUFUATA UTARATIBU KWENYE STENDI MPYA YA DALADALA MKOANI DODOMA KUBOMOLEWAMmoja wa wafanyakazi katika ofisi ya Mhandisi wa manispaa ya Dodoma akitoa amri ya kuondoa moja ya vibanda vilivyojengwa kiholela kat...
-
picha na Riziki Mashaka.
-
Majuto anasema kuwa ana watoto tisa ingawa hakuwa tayari kuwazungumzia mama wa watoto hao zaidi ya kumwongelea mkewe wa sasa, A...
No comments:
Post a Comment