
Katika ajali hiyo hakuna hata mtu mmoja
aliyefariki ila dereva wa gari aina ya Escudo aliyefahamika kwa jina moja la
Hussein maarufu kama Baunsa ndie aliyeumia sehemu
za miguuni na kichwani lakini wasamaria wema waliweza kumtoa katika eneo la
ajali na kumuwahisha hospitali.
Hii ndio coaster iliyopata ajali ambayo baada ya ajali ilihama barabarani na kuelekea vichakani.
Huu
ni upande wa mbele wa garri aina ya Suzuki Escudo ambao unaonekana
kuumia sana, na baadhi ya mashuhuda wa ajali hiyo wakishangaa jinsi
ambavyo gari hiyo imeharibika.

Huu ndio upande wa mbele wa coaster iliyopata ajali na abiria wote kutoka wakiwa wazima wa afya.
No comments:
Post a Comment