Jana
zilisambaa habari kwamba masanja mkandamizaji na msanii Diamond
wamedakwa na polisi na passport zao za kusafiria zimezuiwa....
Taarifa
hizo zimemfanya Masanja afunguke na kudai kwamba habari hizo
si za kweli, ni habari zenye lengo la kumchafulia jina.
Masanja ameenda mbali zaidi na kudai kwamba yeye ni mtumishi wa mungu, yeye ni mjasiliamali na ni mkulima pia.
Mali
alizonazo zinatokana na juhudi zake za kazi. TBC wanamlipa
milioni 5 kwa mwezi.Stoo ana magunia ya mpunga zaidi ya 1000
na kila gunia linauzwa zaidi ya 200,000.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Lori la mizigo lililogongana uso kwa uso na basi la Al - Saedy lililokuwa likitoka Dar Es salaam kuelekea Mkoani Dodoma ...
-
TCRA yawatoa hofu wenye TV zenye matumbo:MAMLAKA ya Mawasiliano (TCRA) imewataka Watanzania waepuke uvumi wa watu wachache wanaodai kuwa ...
-
-
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa katika picha na Mhe OmaDr Yussuf Mzee, Waziri wa Fedha ...

No comments:
Post a Comment