Jana
zilisambaa habari kwamba masanja mkandamizaji na msanii Diamond
wamedakwa na polisi na passport zao za kusafiria zimezuiwa....
Taarifa
hizo zimemfanya Masanja afunguke na kudai kwamba habari hizo
si za kweli, ni habari zenye lengo la kumchafulia jina.
Masanja ameenda mbali zaidi na kudai kwamba yeye ni mtumishi wa mungu, yeye ni mjasiliamali na ni mkulima pia.
Mali
alizonazo zinatokana na juhudi zake za kazi. TBC wanamlipa
milioni 5 kwa mwezi.Stoo ana magunia ya mpunga zaidi ya 1000
na kila gunia linauzwa zaidi ya 200,000.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Abiria wapatao 60 waliokuwa wanasafiri siku ya jana na basi la Turu linalofanya safari zake kati ya mkoa wa Singida na Haidom mkoani Man...
-
Sunderland 1 - 2 Tottenham Hotspur Aston Villa 0 - 3 Wigan Athletic Fulham 1 - 2 Swansea City Manchester United 2 - 0 West Bromwich Albi...
-
Wanahabari wataka uhuru zaidi wa habari: JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limependekeza Katiba mpya ijayo itambue uhuru wa vyombo vya ha...
-
KATI ya miaka ya 1960 hadi 1980, mtu kuwa tajiri alionekana ni hatari kwa taifa, tena mali zake alizimiliki kwa kificho, vinginevyo ang...

No comments:
Post a Comment