Wednesday, September 11, 2013

HAYA NI MAVUNO YA ZABIBU SHAMBANI KWA WAZIRI MKUU MHE. PINDA DODOMA

IMG_0045 1Bibi Silvana Nhungwe akivuna zabibu katika shamba la Mheshimiwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda lililopo eneo la Zuzu mjini Dodoma Septemba 11, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
IMG_0098 IMG_0030Watu wakivuna zabibu kwenye Shamba la Mheshimiwa Waziri Mkuu, Mizengo PInda lililopo Zuzu mjini

No comments:

Zilizosomwa zaidi