Sunday, August 11, 2013

BASI LA MERIDIAN LAPATA AJALI MBAYA HUKO BAGAMOYO

Ajali mbaya imetokea mchana wa leo katika eneo  Mbwewe Bagamoyo ikihusisha  bus la kampuni ya Meridian lililokuwa likisafirisha abiria kutokea Rombo kuelekea Dares salaam.
Baadhi ya watu wanasadikiwa kupoteza maisha katika ajari hiyo...
Hapa ni baadhi ya abiria waliosalimika wakijaribu kutafuta mizigo yao

No comments: