Serikali imesema kasi ya
maambukizi ya virusi vya ukimwi Tanzania imepungua kwa asilimia 5.1 huku
Wanawake wakiwa hatarini zaidi kupata maambukizi hayo kwa kuwa na
asilimia 6.2 ikilinganishwa na Wanaume wenye asilimia 3.8
Raisi Jakaya Kikwete
amesema pamoja na ripoti hiyo kuonyesha kupungua kwa kasi ya maambukizi
ya VVU, Mkoa mpya wa Njombe unaongoza kwa kuwa na asilimia 14 ukifuatiwa
na Iringa wenye asilimia 9.1 ya maambukizi.
Kutokana na ripoti ya utafiti
wa viashiria vya ugonjwa wa Ukimwi pamoja na Malaria Tanzania uliofanywa
kwa mwaka 2011/2012 na ripoti kuzinduliwa na Rais Kikwete Dar es
salaam, kupungua kwa kasi ya maambukizi kumetokana na hamasa kubwa ya
Wananchi kujitokeza kupima afya zao ambapo hadi sasa zaidi ya Watanzania
milioni 18 wamepima afya zao huku Wanawake ndio wakiwa wamejitokeza kwa
wingi kuliko wanaume.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Baadhi ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Azania wakiwa wamejipanga kumpokea mgeni rasmi katika mahafa...
-
Tottenham Hotspur 2- 4 Chelsea Fulham 1 - 0 Aston Villa Liverpool 1 - 0 Reading Manchester United 4 - 2 Stoke City Swansea City 2 - 1 W...
-
Gari la zimamoto la Ultimate Security lililofika eneo la tukio .GPL (P.T) ...
-
-
Habari zilizotufukia hivi punde zinasema kuwa muigizaji Mzee Manento amefariki dunia hapo jana. Bado tunaendelea kufuatilia kwa kar...
No comments:
Post a Comment