Sunday, January 20, 2013

HAWA NI VIONGOZI ZANZIBAR WALIOSHIRIKI KUTOA MAONI YA KATIBA MPYA.

  • Januari 20, 2013: Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Dkt. Khalid Mohamed akiongea katika mkutano na Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba uliofanyika katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam leo. Katibu Mkuu huyo aliwasilisha maoni ya watumishi wa ofisi yake kuhusu Katiba Mpya. 
    Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar
     Dkt. Khalid Mohamed akiongea katika mkutano na Wajumbe wa
     Tume ya Mabadiliko ya Katiba uliofanyika katika ukumbi wa 
    Karimjee jijini Dar es Salaam leo. Katibu Mkuu huyo aliwasilisha
     maoni ya watumishi wa ofisi yake kuhusu Katiba Mpya.
     
     
     
     
     
    Januari 20, 2013: Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Bw. Awadh Said akiongea katika mkutano kati ya Wajumbe wa Tume na ujumbe wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar uliowasilisha maoni ya watumishi wa ofisi hiyo kuhusu Katiba Mpya katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam leo. 
     
     
     
     
     
     
     
     
     
     
     
     
     
     
    Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Bw. Awadh Said 
    akiongea katika mkutano kati ya Wajumbe wa Tume na ujumbe wa
     Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar uliowasilisha maoni ya 
    watumishi wa ofisi hiyo kuhusu Katiba Mpya katika ukumbi wa
    Karimjee jijini Dar es Salaam leo.
    Januari 20, 2013: Katibu Mkuu Mstaafu Bw. Vincent Mrisho akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano kati yake na Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika ofisi za Tume leo. Kulia ni Mwenyekiti wa Tume Jaji Jospeh Warioba.
    Katibu Mkuu Mstaafu Bw. Vincent Mrisho akitoa maoni yake 
     kuhusu Katiba Mpya katika mkutano kati yake na Wajumbe wa 
    Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika ofisi za Tume leo. Kulia ni 
    Mwenyekiti wa Tume Jaji Jospeh Warioba.

No comments:

Zilizosomwa zaidi