Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar
Dkt. Khalid Mohamed akiongea katika mkutano na Wajumbe wa
Tume ya Mabadiliko ya Katiba uliofanyika katika ukumbi wa
Karimjee jijini Dar es Salaam leo. Katibu Mkuu huyo aliwasilisha
maoni ya watumishi wa ofisi yake kuhusu Katiba Mpya.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Bw. Awadh Saidakiongea katika mkutano kati ya Wajumbe wa Tume na ujumbe waOfisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar uliowasilisha maoni yawatumishi wa ofisi hiyo kuhusu Katiba Mpya katika ukumbi wa
Karimjee jijini Dar es Salaam leo.
Sunday, January 20, 2013
HAWA NI VIONGOZI ZANZIBAR WALIOSHIRIKI KUTOA MAONI YA KATIBA MPYA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Baadhi ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Azania wakiwa wamejipanga kumpokea mgeni rasmi katika mahafa...
-
Tottenham Hotspur 2- 4 Chelsea Fulham 1 - 0 Aston Villa Liverpool 1 - 0 Reading Manchester United 4 - 2 Stoke City Swansea City 2 - 1 W...
-
Gari la zimamoto la Ultimate Security lililofika eneo la tukio .GPL (P.T) ...
-
-
Habari zilizotufukia hivi punde zinasema kuwa muigizaji Mzee Manento amefariki dunia hapo jana. Bado tunaendelea kufuatilia kwa kar...
No comments:
Post a Comment