Monday, December 24, 2012
Tunapoelekea kwenye sikuku hizi za Chrismass na Mwaka mpya, tuendelee kuwakumbuka ndugu jamaa na marafiki tuliowapoteza katika kipindi cha mwaka mzima. Kuna ndugu tumewapoteza katika Mgomo wa Madaktari, ajari ya meli ya Skagik na ajari nyingi za barabarani. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Kesi iliyokuwa inamkabiri mwenyekiti wa zamani wa chama cha CUF Pro Ibrahim Lipumba na baadhi ya wafuasi wa CUF kwa kosa la kuandamana bila...
-
Ajabu na kweli, katika ajari hiyo hapana mtu aliyepoteza maisha
-
-
Watu 13 wamefariki na wengine 11 kujeruhiwa vibaya katika ajari iliyotokea mkoani Shinyanga usiku wa kuamkia leo. Ajari hiyo imehusisha ma...
-
No comments:
Post a Comment