Monday, December 24, 2012
Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Bw Suleiman Kova, amesema jeshi la polisi nchini limejipanga vyema katika kuimarisha ulinzi wakati wa sikuku hizi za Krismass na mwakampya. 'Mtu yeyote atakayepatikana akijihusisha na vitendo vinavyoweza kusababisha vurugu, hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
-
Chama cha Wasafirishaji wa Mafuta Tanzania (Tatoa), kimesema Rwanda na Uganda zitajitoa kutumia Bandari ya Dar es Salaam kuanzia Septem...
-
Papa akituma ujumbe wake wa Twitter Papa Benedict wa 16 ametuma ujumbe wake wa kwanza kwenye akaunti yake yaTwitter. Ujumb...
-
Israel Magesa Wakili Magesa aliyeko (pichani) amefariki dunia ghafla leo asubuhi. Wakili Magesa, ambaye ni mmiliki wa kampuni y...
No comments:
Post a Comment