Wakati idadi ya makanisa yaliyochomwa moto kutokana na vurugu zilizotokea juzi Mbagala Kizuiani jijini Dar es Salaam ikifikia saba, viongozi wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo wameonya kuwa, Serikali ikishindwa kudhibiti matukio ya vurugu za kidini, taifa linaweza kuingia katika umwagaji damu.Vurugu hizo zilitokea juzi baada ya watu wanaodaiwa kuwa waumini wa dini ya Kiislamu kuvamia Kituo cha Polisi, wakitaka wapewe mtoto aliyedaiwa kudhalilisha kitabu kitakatifu cha Quran kwa kukikojolea.
Saturday, October 13, 2012
MAKANISA YALIYOCHOMWA DAR YAFIKA SABA.
Wakati idadi ya makanisa yaliyochomwa moto kutokana na vurugu zilizotokea juzi Mbagala Kizuiani jijini Dar es Salaam ikifikia saba, viongozi wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo wameonya kuwa, Serikali ikishindwa kudhibiti matukio ya vurugu za kidini, taifa linaweza kuingia katika umwagaji damu.Vurugu hizo zilitokea juzi baada ya watu wanaodaiwa kuwa waumini wa dini ya Kiislamu kuvamia Kituo cha Polisi, wakitaka wapewe mtoto aliyedaiwa kudhalilisha kitabu kitakatifu cha Quran kwa kukikojolea.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Karibuni tena Dodoma Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge Maalum la kutunga Katiba ya nchi yetu. Sote tuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyez...
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Utangulizi Ndugu wananchi; Naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema, kwa kutujalia uzima na kutuwezesha ...
-
1 Tukio la tetemeko: Tarehe 10/09/2016 saa 9 na dakika 27 mchana kumetokea tetemeko la ardhi mkoani Kagera. Kitovu cha teteme...
-
Tume ya Mabadiliko ya Katiba imeongeza siku mbili za kupiga kura ya kuchagua wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya, zoezi ambalo awali ...
No comments:
Post a Comment