Bondia THOMAS MASHALI kushoto
akitunishiana misuri na MEDY SEBYALA wa UGANDA baada ya kupima uzito Dar
es salaam leo kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika siku ya
kumbukumbu ya baba wa Taifa katika pambano la Ubingwa wa Africa
mashariki litakalofanyi ukumbi wa Friends corner hotel siku ya jumapili
14/10/2012a katika anaeshudia katikati ni Rais wa TPBC Onesmo Ngowi
ambaye ndie msimamizi mkuu wa mpambano huo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Kutokana na Manchester United kutofanya vizuri chini ya uongozi wake David Moyes hatimaye leo April 22 wamemtangaza Mchez...
-
"We have to fight until the end of the season. But we need to find more defensive stability."
-
Sote tunaweza kuwa maarufu, tunaweza kuwa chochote tunachotaka . Pamoja na hayo, jambo moja ambalo ni dhahiri itakuwa ni vigumu sana k...
-
Soko la kimataifa la mahindi Kibaigwa katika Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma kwa sasa ni jeupeee kuto...
-
Basi la smart likiwa limepinduka eneo la Lugoba Mmoja wa majeruhi wa ajali hiyo akiwa amepoteza fahamu baada ya kupata mshtuko ...
No comments:
Post a Comment