Friday, September 7, 2012
Zaidi ya waumini 300 wa dini ya Kiislam wameandamana jijini Dar es salaam. Maandamano ya waumini hao ni kuitaka serikali kuwaachia huru waislamu wote waliokamatwa kwa madai ya kupinga shughuli ya Sensa. Kutokana na kuandamana kwao, tayari serikali imetoa tamko la kuwaachia huru wote waliokuwa wakishikiliwa na jeshi la polisi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
VIBANDA VILIVYOJENGWA BILA KUFUATA UTARATIBU KWENYE STENDI MPYA YA DALADALA MKOANI DODOMA KUBOMOLEWAMmoja wa wafanyakazi katika ofisi ya Mhandisi wa manispaa ya Dodoma akitoa amri ya kuondoa moja ya vibanda vilivyojengwa kiholela kat...
-
-
Majuto anasema kuwa ana watoto tisa ingawa hakuwa tayari kuwazungumzia mama wa watoto hao zaidi ya kumwongelea mkewe wa sasa, A...
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Basi hili la Kampuni ya Abood lililokuwa lilisafiri kutoka jijini Dar es Salaam kwenda Tunduma mkoani Mbeya, lilimepata ajali kat...
No comments:
Post a Comment