Wednesday, September 19, 2012

Wizara ya elimu kweli inachekesha, wanafunzi darasa la saba kujibu mtihani kwa kushedi majibu. Hivi hapa kweli si ndio wale wasiojua kusoma na kuandika watafaulu kuingia kidato cha kwanza.! Hili inabidi kuangaliwa upya na sio kukurupuka tu na mifumo ya ajabuajabu. Hapa ndio wasomi wanaanza kupotea sasa.

No comments:

Zilizosomwa zaidi