Wednesday, September 19, 2012

Tatizo la vyumba vya madarasa pamoja na madawati limejitokeza tena wakati huu wa mitihani ya darasa la saba. Wanafunzi wa shule ya msingi Ipagala wamejikuta wakienda kufanyia mtihani wao katika shule ya Sekondari Makole baada ya shule yao kukosa vyumba vya madarasa na madawati ya kutosha.

No comments:

Zilizosomwa zaidi